
SANAA YA PWANI
Sanaa ya Waswahili na pwani inajionyesha katika usanifu wa majengo, vyombo vya nyumba, au mapambo ya mwili. Sanaa nyingi ziliathiriwa na Waarabu kwa sababu pwani za Afrika ya Mashiriki zilitumika kwa biashara za nje. Vitu vilibadilishwa kama pembe ya ndovu, dhahabu, na viungo. Vitu hivi vilifanya miji ya Afrika ya Mashariki kuwa na biashara sana. Biashara ya pwani ilileta fedha na tamaduni zingine.

Usanifu wa majengo wa Waswahili ni mzuri sana. Majengo mengi yana maumbo ya mabombwe, mabombwe ni kufanana na jiometri. Ishara ya usanifu majengu ni milango, nyanja, minara, na kadhalika. Milango michonga mikubwa ni dalili ya utajiri. Mitindo miwili niliyogunduwa; mtindo wa kwanza uliochongwa wenye kina lakini una mabombwe machache. Mtindo wapili ulichongwa ni bila kina lakini mabombwe haya kuwa na ulinganifu. Kiti kikubwa na pambo ni mfano mzuri mwingine wa usanifu majengo. Viti vyingi vilitengenezwa na mpingo, pembe ya ndovu, mfupa, na henzerani. Majengoni, pondo kutoka mikoko zilitumiwa kujenga paa na zilikuwa na kikomo cha futi nane au kumi.

Sanaa ya pwani haikukuwa pamoja na dini kwa sababu ya athari ya Waarabu. Kwa Jumla sanaa zaidi haikuonyesha picha ya watu au wanyama kwa sababu urithi wa Mwislamu. Umbo na njia ziliazimwa kutoka Waarabu, fahirisi na hali ni asilia. Waswahili wengi wanajua kuimba, kuyaandika mashairi, kucheza, na kuyatenga majahazi. Hakuna tofauti baina ya mtu wa kawaida na Wasanii kwa sababu watu wote hujua sanaa yote.

Sanaa ya Waswahili na pwani inajionyesha katika usanifu wa majengo, vyombo vya nyumba, au mapambo ya mwili. Sanaa nyingi ziliathiriwa na Waarabu kwa sababu pwani za Afrika ya Mashiriki zilitumika kwa biashara za nje. Vitu vilibadilishwa kama pembe ya ndovu, dhahabu, na viungo. Vitu hivi vilifanya miji ya Afrika ya Mashariki kuwa na biashara sana. Biashara ya pwani ilileta fedha na tamaduni zingine.

Usanifu wa majengo wa Waswahili ni mzuri sana. Majengo mengi yana maumbo ya mabombwe, mabombwe ni kufanana na jiometri. Ishara ya usanifu majengu ni milango, nyanja, minara, na kadhalika. Milango michonga mikubwa ni dalili ya utajiri. Mitindo miwili niliyogunduwa; mtindo wa kwanza uliochongwa wenye kina lakini una mabombwe machache. Mtindo wapili ulichongwa ni bila kina lakini mabombwe haya kuwa na ulinganifu. Kiti kikubwa na pambo ni mfano mzuri mwingine wa usanifu majengo. Viti vyingi vilitengenezwa na mpingo, pembe ya ndovu, mfupa, na henzerani. Majengoni, pondo kutoka mikoko zilitumiwa kujenga paa na zilikuwa na kikomo cha futi nane au kumi.

Sanaa ya pwani haikukuwa pamoja na dini kwa sababu ya athari ya Waarabu. Kwa Jumla sanaa zaidi haikuonyesha picha ya watu au wanyama kwa sababu urithi wa Mwislamu. Umbo na njia ziliazimwa kutoka Waarabu, fahirisi na hali ni asilia. Waswahili wengi wanajua kuimba, kuyaandika mashairi, kucheza, na kuyatenga majahazi. Hakuna tofauti baina ya mtu wa kawaida na Wasanii kwa sababu watu wote hujua sanaa yote.

No comments:
Post a Comment