Monday, March 9, 2009


KANGA

Kanga ni nguo ya desturi na watu wengi wa afrika ya mashariki wanazivaa kanga. Kanga ni kitambaa chenye umbo la mstatili na hiki kina mabombwe na rangi nyingi mbalimbali. Ukubwa ya kanga ni kutoka mkono katika mkono wengine wako. Urefu ni kipimio baina ya shingo yake katika goti lake. Au kipimio cha upana ni arobaini na nne inchi na kipimio cha urefu ni sitini inchi.
Kanga inavalika katika njia tofauti, kama nguo, juu ya kichwa, kuwabeba watoto, na kadhalika. Watu wanavaa kanga kusherekea uzazi, arusi, au kuomboleza. Watu wengi watapa kanga kwa zawadi. Mara nyingine kanga zanaanunuliwa kama wawili.


Methali
Kanga zinatumiwa kwa mawasiliano pia. Kanga kila ina methali au ujumbe na inasema vitu vingine bila usemi. Mifano ya methali ni...

"Liya na tabia yako usilaumu wenzako"
"Naogopa simba na meno yake, siogopi mtu kwa maneno yake"
"Amani na upendo ni ngao yangu"
"Habari ndiyo hiyo"
"Nakutakia kila la kheri"
"Mke ni tunda ni majibu kumtunza"
"Tusisahau kwetu"

Historia
Kitambaa kililetwa katika Afrika ya Mashariki kabla ya mwaka wa elfu moja mia tisa wakati wa biashara ya nje. Nguo hizi zilitoka Ulaya, Uhundi, na nchi nyingine za mashariki. Wareno walileta kitambaa chenye mabombwe kuuza kama leso. Wanawake walikata leso katika nusu na halafu walishona kitambaa kiwili tofauti kutengeneza kitambaa kipya. Kitambaa kipya kilifanana na mnyama wa kenga na jina la kenga linatoka mnyama huyu.


Sehemu za Kanga
  • Pindo ni mpaka wenye upande nne kila ya kenga
  • Mji ni mstatili wa kati na ulionyesha picha za wanyama, mimea, watu, au umbo mbalimbali
  • Jina ni usemi katika kanga na mara nyingi ni methali


Kufanga Kanga
Unafungua kangaUnachomekea upande moja chini ya mkono Unavuta upande nygine juu ya upande moja na unachomekea chini ya mkono wengine
Mwisho
Kanga ya Rais wa Amerika


Habari Zaidi
http://www.zanzibarhistory.org/kanga%20and%20Zanzibar.htm
http://www.kangausa.com/index.htm
http://www.watatu.se/index.php
http://media.humnet.ucla.edu/quarters/06s/african103c_lec1_06s/eleanor/Site/Utangulizi.html

Sunday, February 22, 2009

ALA YA MUZIKI YA AFRIKA YA MASHARIKI

Kwa darasa ya sanaa ya uchongaji, nitajenga ala ya muziki kutoka vitu anuwai. Ninasoma ala ya muziki kutoka afrika ya mashariki kujifunza zaidi kuhusu ala na kutengeneza ala. Ala nyingi zinatoka Kenya, Tanzania, Uganda, na nchi nyingi za afrika ya mashariki. Muziki ni muhimu sana kwa sherehe au kupitisha taarifa. Kwa mfano, muziki inatumika na harusi, mazishi, matibabu, kuweka saa, kufundisha, kufurahisha, na khadithia.


Embaire

Embaire iko ala ya kufanana na marimba na inatoka nchi ya Uganda. Kutengeneza embaire, tundu linachimbwa futi moja na nusu ya chini na urefu ni futi nane. Shina la ndizi linalazwa kwa upande pamoja wa tundu. Majani ya tembo marefu yanalazwa juu ya shina kama mto. Mbao (kutoka mbao ya ensambiya) za kufanana sehemu ya kinanda (piano) zinalazwa juu ya majani kuficha tundu. Embaire ina mbao ishirini na moja na watu wa sita hupiga embaire mara moja. Kupiga embaire, wanamuziki wanatumia fimbo/nyundo (kutoka mbao ya enzo) au mikono yao. Kwa watu wa Busoga, muziki ina uhusiano wa roho na desturi ya Mbusoga kutoa mhanga kuku kurekebisha sauti ya embaire.

Endere

Endere iko filimbi na inatoka Uganda pia. Endere ni fupi au refu na filimbi yote ina tundu la mraba nne. Endere fupi inatoka Uganda ya mashiriki na watu wa Busoga. Endere refu inatoka Uganda ya magharibi na watu wa Ankole. Kwa kawaida, endere inapigwa na mtu peke yake lakini karibuni watu wanapiga endere na ala za muziki zingine. Wachungaji walipiga endere kuita mifugo yao.

Endingidi

Endingidi ni kufanana na fidla lakini ina kamba moja. Sehemu ya endingidi inaweza kuondoshwa rahisi na watu wanaweza kuileta ala hii bila jasho. Kamba ya ala hii inatengenezwa na ufumwale ya makongo. Makongo inaotesha kabisa afrika ya mashariki. Mwanamuziki anapiga ala na upinde na inatengenezwa na ufumwale ya makongo pia. Kasha ya wazi inatumiwa kwa mwili wa ala. Kasha inajengwa na mbao kutoka mti wa settaala. Kasha ya juu inafunikwa na ngozi ya ng'ombe changa au mbuzi changa, lakini kwanza ngozi inaweka katika maji na baadaye inanyoshwa juu ya kasha. Ngozi inafungwa na nyundo na mambo juu ya kasha. Mpini ya endingidi unachongwa na mbao gumu. Mwanamuziki huweka nywele ya nyama juu ya endingidi kwa pambo. Ala hii inamalizika katika miezi tano au sita.

Ntongooli

Ntongooli (au ndongo) ni kufanana na Endingidi lakini ina kamba nane. Ala hii ina pia bakuli ya wazi kwa mwili wa ala. Bakuli inatoka kaka ya kobe na ngozi inawekwa juu ya bakuli. Mpini wa ntongooli unachongwa na mbao kama endingidi. Mtu anaanza kujenga ntongooli au endingidi na mpini. Mtu anachonga mpini kwa muda mrefu.

Kutazama wanamuziki wanapiga ala hizi...

http://www.youtube.com/watch?v=ySP3VqcwWNI
http://www.youtube.com/watch?v=Xbrxxxx6qXA

Sunday, February 15, 2009


CHAKULA CHA AFRIKA YA MASHARIKI

Wikiendi hii, niliamua kujifunza zaidi kuhusu vyakula vya Afrika. Wanawake wanapika chakula kwa kawaida, ni kufanana katika tamaduni zingine duniani. Lakini katika sehemu mbalimbali watu wa Afrika ya Mashariki wanakula vyakula tofauti.

Karibu pwani ya Kenya, watu wengi wanakula samaki, matunda, maziwa ya nazi, na viungo. Chakula cha pwani kinaathiriwa na Waarabu. Mchuzi na chapati ni mfano mzuri wa athari ya Waarabu.

chapati

Katika sehemu ya Kenya nyingine, watu hupika na vyakula huota au karibu na nyumba. Kwa mfano, maharagwe, wali, nafaka, viazi, na kadhalika. Lakini, kama jamaa wana wanyama, hawatakufa wao kwa sababu jamaa watapata zaidi kama wanyama wanaishi. Samosas, Irio, na Ugali ni milo ya afrika ya mashariki ya desturi.

Juzijuzi niliamua kupika mlo wa desturi kutoka pwani ya Kenya. Mgeni wa maalumu sana ameniunga kwa chakula cha jioni. Jina la mgeni ni Marlene Anderson na tutasoma Kiswahili pamoja. Nimepika mchuzi wa uduvi (au kamba wadogo). Kupika mlo huu, nilihitaji...

mafuta, samaki au uduvi, chumvi, pilipili manga, kitunguu, pilipili hoho, kitunguu sumu, nyanya, maziwa ya nazi, bizari, na maji ya limau.

Kuanza, nilipika kitunguu na pilipili hoho kwanza, baadaye nimeongeza kitunguu sumu na nimepika kwa dakika moja au mbili zaidi. Baada ya kitunguu sumu, niliongeza nyanya, maziwa ya nazi, bizari, maji ya limau, chumvi, na pilipili manga. Nilivyachemka vyakula kila na joto (hari) imepunguzwa na nimepika kwa dakika nane.


Pili, nimeongeza uduvi na nimepika kwa dakika kumi zaidi au hata uduvi inageuka katika rangi ya waridi. Nimeongeza wali baada ya mchuzi ulikuwa tayari. Mlo huu ni mzuri sana na kupika rahisi. Marlene na mimi tulimaliza na tumenywa chai na tumezungumza kuhsu usafiri nchini ya Kenya, mpango wa Imani, na Kitengela.


Habari Zaidi

http://www.africaguide.com/cooking.htm
http://www.mwambao.com/
http://www.africanfoods.co.uk/east-african-foods.html


Tuesday, February 10, 2009


WATU WA MAASAI

"Maasai bila ya utamaduni ni kama punda milia bila ya milia. Kama tunaacha njia ya maisha, hatua ya pili yetu tutakufa." - Kakuta Ole Maimai

Watu wa Maasai wanatambulika kwa utamaduni wao na mapambo yao. Wanatoka Kenya ya kusini na Tanzania ya kaskazini. Lakini, watasafiri kufuata mvua kwa ng'ombe zao. Wanategemea na mifugo na kilimo kuishi. Idadi ya watu wa Maasai ni kuhusu milioni nusu. Mmaasai wanasema Maa na wanaweza kugawanyika (kugawika) katika sehemu sana kama Ildamat, Ilpurko, Ikankere, Ilkaputiei, na kadhalika.


Nyumba za Mmaasai inazungukwa na Kraal. Kraal ni kama duara na inatengenzwa kutoka miiba ya acacia. Miiba yanasaidia kuzuia samba kutoka kushambulia ng'ombe yao na mifugo mingine. Nyumba zao zinatengenzwa kuonekana kama umbo wa mkate. Zinatengenezwa kutoka tope, mafimbo, majani, samadi ya ng'ombe, na mkojo wa ng'ombe. Wanawake wanajenga nyumba hizi na nyumba moja inajengika katika miezi saba mara nyingine. Manyatas na enkang ni aina mbili za kraal. Katika manyatas, wavulana wa hirimu ya kufanana wanaishi pamoja, lakini enkang yana jamaa wengi na mifugo yao.


Watu wa Maasai wana sherehe zingi kama Emuratta (Tohara), Enkipaata (kabla ya sherehe ya tohara), Enkiama (Ndoa), na kadhalika. Mapambo na nguo zinavaa katika sherehe hizi. Kwa mfano, baada ya Emuratta, wamvulana wanavaa nguo za rangi ya nyeusi. Kwa enkang e-kule (sherehe ya maziwa) wavulana wanazinyoa nywele za rangi zao. Kwa kawaida mmaasai wanahusikana na sura zao. Watavaa shanga karibu miili yao. Mikufu mizuri mikubwa inatengenezwa na shanga na wanawake watavaa hii kwa harusi yao. Wanamume wanavaa nywele kutoka simba kwa sherehe. Mmaasai watapaka rangi uso wao kwa sherehe pia au kwa sababu nyingine. Mapambo ya watu wa Maasai ni muhimu sana sawasawa na ng'ombe zao. Mapambo ni sehemu ya utamaduni wao na uhai wao.


"Nyumba inaweza kuharibika katika siku moja, nyumba ya pya inaweza kutengenza katika miezi mingi au miaka labda. Kama tunaacha njia ya maisha kutengenza maisha ya pya, itakuwa miaka ya maelfu sana."


Habari Zaidi
http://www.maasai-association.org
http://www.maasaiwomenart.net/
saharanvibe.blogspot.com/.../simply-maasai.html
http://www.gonomad.com/features/0504/maasai_women_in_kenya.html

Monday, February 2, 2009


SANAA YA PWANI

Sanaa ya Waswahili na pwani inajionyesha katika usanifu wa majengo, vyombo vya nyumba, au mapambo ya mwili. Sanaa nyingi ziliathiriwa na Waarabu kwa sababu pwani za Afrika ya Mashiriki zilitumika kwa biashara za nje. Vitu vilibadilishwa kama pembe ya ndovu, dhahabu, na viungo. Vitu hivi vilifanya miji ya Afrika ya Mashariki kuwa na biashara sana. Biashara ya pwani ilileta fedha na tamaduni zingine.


Usanifu wa majengo wa Waswahili ni mzuri sana. Majengo mengi yana maumbo ya mabombwe, mabombwe ni kufanana na jiometri. Ishara ya usanifu majengu ni milango, nyanja, minara, na kadhalika. Milango michonga mikubwa ni dalili ya utajiri. Mitindo miwili niliyogunduwa; mtindo wa kwanza uliochongwa wenye kina lakini una mabombwe machache. Mtindo wapili ulichongwa ni bila kina lakini mabombwe haya kuwa na ulinganifu. Kiti kikubwa na pambo ni mfano mzuri mwingine wa usanifu majengo. Viti vyingi vilitengenezwa na mpingo, pembe ya ndovu, mfupa, na henzerani. Majengoni, pondo kutoka mikoko zilitumiwa kujenga paa na zilikuwa na kikomo cha futi nane au kumi.


Sanaa ya pwani haikukuwa pamoja na dini kwa sababu ya athari ya Waarabu. Kwa Jumla sanaa zaidi haikuonyesha picha ya watu au wanyama kwa sababu urithi wa Mwislamu. Umbo na njia ziliazimwa kutoka Waarabu, fahirisi na hali ni asilia. Waswahili wengi wanajua kuimba, kuyaandika mashairi, kucheza, na kuyatenga majahazi. Hakuna tofauti baina ya mtu wa kawaida na Wasanii kwa sababu watu wote hujua sanaa yote.


Monday, January 26, 2009

SANAA YA UCHONGAJI YA MAKONDE
Watu wa Makonde walirithi kwa kuishi juu ya uwanda mrefu na wametoka Tanzania ya kusini au Mozambique ya kaskazini. Wameepa ukoloni kwa muda mrefu na watu wenye nguvu na wakali, mara nyingine wameitwa Mawia. Sanaa ya uchongaji imewasaidia watu wa Makonde wamechuma. Wachongaji wengi hutumia mbao laini kama mpingo. Wanachonga vitu kama kiuchumi vyupa vya kizibo, vyombo vya dawa, mitemba, mafimbo, na kadhalika.


Sanaa ya Makonde ina mitindo miwili mikuu, mitindo hii ni Binadamu na Shetani. Mtindo wa Binadamu unaonyesha umbo la asilia na watu katika sanaa hufanya kazi ya kila siku. Mtindo wa Shetani unaonyesha umbo la roho au dini. Watu wa Makonde wanaamini kwamba mchongaji alimwumba Mmakonde wa kwanza. Hadithi ni...

"Katika mwanzo, kiumbe kilitembea duniani, kiumbe hiki hakikuwa mtu au mnyama. Mara nyingine, kiumbe kilikuwa mpweke na siku moja kilipata mbao kutoka mti na kilichonga umbo. Siku ya pili umbo hili lilikuwa na uhai na likakuwa mke wa kiumbe. Mke alizaa mtoto lakini katika siku tatu mtoto akafa. Mke aliona mauti kama kitu kibaya. Kiumbe na mke walihama kutoka mto. Tena, mke alizaa mtoto mwingine na siku ya tatu mtoto akafaa tena. Walihama tena kawa uwanda mrefu. Mke alizaa mtoto wa tatu lakini muda huu mtoto aliishi na mtoto huyu alikuwa Mmakonde wa kwanza au mtu wa kwanza."


Watu wa Makonde wanaamini kuchonga ni muhimu sana kwa sababu kabla ya mtu, kulikuwa mchongaji. Sanaa ya kwanza ilionyesha umuhimu wa wanawake. Iliwakumbusha kwamba mama ndiye aliwapa uhai. Picha ya mama ilichongwa kutoka mbao ilikuwa umbo la ulinzi. Watu walileta uchongaji huu kwa safari. Leo, sanaa ya Makonde ni tofauti. Sanaa nyingine ina dhahania na inaonyesha Mungu, roho na shetani. Wasanii wa Makonde wanatumia mawazo katika uchongaji wao kama nasaba baina ya uhai na mauti au shindano baina ya uzuri na ubaya. Uchongaji si utuli na sanaa ina mwendo au inaamba hadithi.



Habari Zaidi
(Online Exhibit) http://www.makonde-museum.de/
(Article) http://findarticles.com/p/articles/mi_m0438/is_3_35/ai_98171012
http://www.caacart.com/country.php?id=10

Thursday, January 15, 2009

SANAA YA TINGA TINGA
Sanaa ya Tinga Tinga iko aina ya sanaa ya Afrika ya Mashariki. Inatoka nchi za Tanzania na Zanzibar. Sanaa chache inapelekwa nchini ya Kenya kwa sababu inapendwa na watalii. Watalii ambao hutoka nchi za Norway, Sweden, Finland, Denmark, Switzerland na Japan hasa wanapenda sanaa ya Tinga Tinga.


Eduardo Saidi Tingatinga yako mwumbaji wa sanaa ya Tinga Tinga. Tingatinga alizaliwa nchini ya Mozambique lakini alienda mjini wa Dar es Salaam katika mwaka wa elfu moja mia tisa hamsini na tano. Katika mwaka wa elfu moja mia tisa sitini na tano Eduardo Saidi alianza kuzipiga picha. Tingatina alifahamu aliweza kuchuma na picha zake. Wasanii wengi hupiga picha kuchuma na hawapigi picha kwa wenyewe. Katika mwaka wa elfu moja mia tisa sabini na mbili, Eduardo Tingatinga alipigwa bunduki na polisi. Baada ya alifa, rafiki wake walianza ushirika wa chama cha Tingatinga. Chama cha ushirika hiki kiliendelea kuwa shule ya sanaa ya Tingatinga kwa wansanii wa Zanzibar, Dar es Salaam, na kadhalika. Ushirika wa Chama cha ushirika ya Sanaa ya Tinga Tinga una wanachama hamsini na makao makuu karibu na stesheni ya Morogoro katika Dar es Salaam.


Wasanii wanaendeleza kupiga Sanaa ya Tinga Tinga. Sanaa hii inatumia rangi ya baisikeli kwa mazonite zaidi. Picha ya zamani ina mahali ya nyuma wazi na inakuwa pamoja na wanyama kama simba, twiga, kifaru, ndege, na kadhalika. Sanaa ya Tinga Tinga nyingine kuhusu methali na hadithi za kale. Eduardo Tingatinga alitumia methali ya kabila ya Makua. Sanaa hii ni sanaa ya mji lakini ina picha za vijijini.

Wasanii wengine ambao hupiga picha ya sanaa ya Tingatinga ni Simon George Mpata, Jaffari Aussi, na Mikidadi Bush Bohary. Georges Lilanga Di Nyama au George Lilanga hupiga picha pia katika mtindo wa Tingatinga. Mimi ninapenda sana sanaa yake. Lilanga alizaliwa mwaka wa elfumoja mia tisa arobaini na nne. Lilanga ni Makonde na mwanzoni alijifunza kuyachonga mashina ya Kassava. Baadaye, alihama mjini wa Dar es Salaam. George alianza chama cha ushirika kinaitcho Nyumba ya Sanaa. Alijifunza zaidi kuhusu kuchonga na kuchora. Sanaa yake inaungana utamaduni ya Makonde kama shetani na ujamaa.

Watoto Wangu Wanasema Hii Siyo Bei Kubwa